Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasema leo Aprili,19...
Monday, June 28, 2010
SUGU MIKONONI MWA POLISI...
Hizi ni habari ambazo nimezipokea si muda mrefu sana,Mr ii aka SUGU amekamatwa na polisi leo asubuhi akijiandaa kwenda kwenye kikao cha press talk katika ukumbi wa Balaza la Sanaa la Taifa(BASATA),mpaka sasa haijafahamika sababu za kukamatwa kwa mkongwe huyo wa muziki wa Hiphop nchini..endelea kuwa hapa kwa habari zaidi....saurce:michuzijr.blogspot.com
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:35 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment