"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
WASHINDI 56 MTOKO WA KIBINGWA BETIKA KUSHUHUDIA DERBY DIMBA LA MKAPA KESHO
-
WASHINDI 56 Promosheni ya Mtoko wa Kibingwa msimu wa 07 kuitazama Derby ya
Kariakoo kati Simba na Yanga itakayofanyika kesho kwenye uwanja wa Mkap...
0 comments:
Post a Comment