"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
DTB, ARISE Kuimarisha Mafunzo ya TEHAMA Kwa Wanafunzi
-
Afisa wa Elimu ya Watu Wazima Manispaa ya Kinondoni Explancer Siame
akishukuru msaada kutoka Benki ya DTB.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Diamond Trus...
0 comments:
Post a Comment