BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, July 22, 2010

"BABA KASEMA ETI LEO NI B'DAY YA BABA MDOGO"....


"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..

0 comments: