BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Monday, July 26, 2010

FID Q AWA MTANGAZAJI WA REDIO...

FID Q

"Mdau leo nimepata nafasi ndogo ya kumsikiliza Fid Q akifanya show ya mchana kupitia Clouds fm..show ambayo imekuwa ikifanywa na mtangazaji mkali Hamis Mandi aka B-12 inayokwenda kwa jina la XXL kubwa kuliko..but hakuwa peke yake bali alikuwa na Adam Mchomvu..nilichogundua ni kwamba mchizi pia yuko tight upande huo mwingine wa ajira..so km akiona muziki unazingua(si kushindwa coz ni mzima balaa) anaweza pia akaja huko na kufanya poa pia..hiyo ilikuwa ni show maalum ya promotion ya "Fiesta" jipanguse ambayo weekend hii inadondoka pande za Mwanza na Fid ndio mwenyeji wa show hyo pande hizo".

0 comments: