BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, July 1, 2010

HUYU HAPA VALLEY....ZAO JINGINE KUTOKA THT..

VALLEY

Jina halisi anaitwa Valentino Michael,lakini awapo kazini(muziki) anapenda sana umuite "Valley",zao jingine kutoka THT(awamu ya kwanza),nilipomuuliza inakuwaje akachelewa sana kuja kwa mashabiki,akanijibu jibu moja fupi sana ambalo mimi nililielewa vizuri..."si unajua bro"....Sasa namtambulisha kwenu na soon utasikia kile anachokifanya,kwa sasa mchizi ana albam mkononi yenye mikono 14 mikali,na hapa ananipa mikono miwili niisikilize na ikibidi nikupe uisikilize pia(kupitia MNM),mikono hiyo ni "Nyota Yangu" ambayo kaifanya producer anaitwa AK 47(humjui wewe),kitu cha clunk hivi,na kingine chaitwa "Atupele" kaifanya producer Small Jobiso(alikuwa THT pia),na studio iliyohusika yaitwa "Tatoo Recs".Albam yaitwa "Zote Zangu" na nna uhakika itashika mbaya,hebu fanya hivi....msubiri utamwona sasa iv aki-shine....Valley!!!!

0 comments: