ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani matai...
Wednesday, August 18, 2010
HAPPY BIERTHDAY TUNDAMAN..
Miaka kadha imepita tangu ulione jua..tar kama ya leo miaka ya themanini alizaliwa mchizi hapo juu...anaitwa Tundaman toka Tanga....na muziki anaofanyia pale TipTop Connection pande za Manzese hapa jiji la Lukuvi....so kama umezaliwa leo fan wangu jua unashea birthday na jamaa huyu..Happy Birthday TundaMan..
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:39 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment