BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Wednesday, September 1, 2010

DIDDY AKUBALI MATOKEO......

SEAN PUFFY COMBS

Rappa the "big name" anaye-own Bad Boys Ent Sean Puffy Combs aka Diddy amekubali matokeo na kumtumia salamu za pongezi rappa aliye-"make headlines" za mitandao kibao juzi kati baada ya kuripotiwa kuwa ndie anayeongoza kwa kuwa na mkwanja mrefu aka mapene aka pesa Sean Cutter aka Jay Z,wachambuzi wa masuala ya watu maarufu aka wadaku wamesema huo ni uungwana na ni kuonesha ni jinsi gani mchizi amekuwa mtu mzima sasa..hiyo ndio mambo...

SEAN CUTTER

0 comments: