BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, September 21, 2010

F.A NA AMANI NDANI YA B_HITS...

F.A

Habari zinasema mwanamuziki Amani kutoka Kenya wiki hii atatimba ndani ya jiji la Lukuvi kupiga bonge moja la show la East African Bash na wakati huohuo kupata wasaa wa kuingiza vokoz kwenye bongebonge moja la beat la mtu mzima Pancho Latino pale B_Hits ili kukamilisha mzigo mpya wa Hamis Corleone Mwinjuma aka F.A..sasa mimi na wewe tuusubiri tuuone au sio..

AMANI

0 comments: