BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, September 28, 2010

HONGERENI KWA KUWA "SUPER BRANDY"....CLOUDS FM

Siku zote maisha ni safari ndefu..na mvumilivu hula mbivu...ni safari ngumu ya MAFANIKIO kwa miaka kumi sasa..hongereni kwa kutunukiwa nembo ya SUPER BRANDY fm station..kwenu CLOUDS fm(People's Station)...


Toka enzi hizi...si mchezo manake..ilikuwa ndoto inaotwa ...



Zikaja enzi hizi wkt ambapo ndoto imekuwa kweli...timu ya awali kabisa ya 88.4 Clouds fm(1999)



And now....guess wat???bata!bata!bata mjini...safari na mafanikio kibao ya mpaka leo kuwa Super Brandy fm station only in Tanzania...hii ni sehemu ndogo tu ya timu kubwa ya Clouds Media wakiwa na mwanaharakati Shy-Rose Banji.

0 comments: