BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, September 2, 2010

MKOLONI WA WAGOSI KTK HALI TETE...

DK JOHN NA MKOLONI

Mdau na fan wangu,hii nimeinasa hivi punde japo imewekwa kitambo kama cha masaa 19 yaliyopita katika Facebook na mwandishi wa habari za burudani toka Mwananchi Communication na mtangazaji wa kipindi kipya cha "kituo cha kazi" 100.5 Times fm Henry Mdimu..imesomeka kama hivi..
"BREAKING NEWS: Mshkaji wetu Fred Mariki, a.k.a Mkoloni wa kundi la wagosi wa Kaya, ambaye ni producer wa kipindi cha kituo cha kazi, amezimika baada ya kunywa supu inayodaiwa kuwa na madawa, na amekimbizwa hospitali ya Mwananyamala ambako amepumzishwa, tusaidiane kumuombea ili arudi katika uzima wake,na mambo yawe hewani kama kawaida..."
Hii imetokea Meeda BAR Sinza,tuungane pamoja tumuombee arejee barabarani soon.

0 comments: