BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, October 12, 2010

ALI KIBA HUYOOO...INTERNATIONALY...

ALI KIBA

Awali nilipopata taarifa kuwa Ali Kiba ameachana na management ya awali chini ya G-Records ya mtu mzima Gulu aka G lover nilihuzunika sana...na nikaona sasa kijana amepotea na muda si mrefu tutamsahau...aisiii..i was wrong...very wrong bana...kijana juzi kati ame-sign na kampuni ya kimataifa ya "RockStar4000" yenye uhusiano na Sony BMG ya nchini Marekani na soon ataanza kusikika kimataifa zaidi...kazi ya kwanza ya kampuni hiyo kwa Kiba ni kusambaza nyimbo zake za albam zake mbili za kwanza kimataifa zaidi... na mengine tutajulishwa...hii ni akili jamani au sio??kila la kheri mwana!!

0 comments: