BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, October 26, 2010

PIGO JINGINE IN REGGAE MUSIC...GREGORY ISAACS HAS GONE FOR GOOD...

GREGORY ISAACS

Ni kifo cha Jamaican Reggae Icon Gregory Isaacs kilichotokea jana asubuhi nyumbani kwake London Uingereza..baada ya kuugua kwa muda mrefu sana ugonjwa wa ini kushindwa kufanya kazi..Meneja wake Copeland Forbes amethibitisha kutokea kwa kifo hicho...amefariki akiwa na miaka 59..alizaliwa July 15 1951 huko Fletcher's Land Kingstone Jamaica na alianza rasmi kurekodi mwaka 1960...na ndipo kabla ya mwaka 1970 akachomoza na hit kali zilizomtambulisha kama "Love is Overdue" na "All I have is Love"....mimi nilimtambua zaidi katika "Night Nurse"...MUNGU ailaze roho ya marehemu Gregory Isaacs mahali pema peponi..Aamin!!

0 comments: