BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, October 12, 2010

RAY&KANUMBA IN THE BATTLE ONCE AGAIN....

"PRETTY GIRL"(COVER)

Hii ni mara ya pili kwa wasambazaji wakubwa wa filamu za kibongo kampuni ya Steps Entertainment kulifanya hili....kuingiza sokoni kwa wakati mmoja filamu mbili za magwiji wa filamu nchini...Ray Kigosi na Stiven Kanumba...na ile ya kwanza niliiripoti hapa pia..sijui matokeo yalikuwaje kibiashara nadhani Steps wenyewe wanalo jibu...sasa this time ni "Pretty Girl" toka RJ Company na "Uncle JJ" toka Kanumba TheGreat Films...zote kwa wakati mmoja zitakuwa sokoni time yoyote kuanzia sasa...tuone tena "Nani ni Nani"..

0 comments: