Choka mbaya records ilibuniwa mwaka 2000. lakini ilianzishwa rasmi mwaka 2003--- december chini ya ma-deejayz wawili ambao ni David james majukano. a.k.a deejay daw na mwenzie Renatus Albinus kiluvia a.k.a rennie bizzo wote wakazi wa jijini Mwanza Tanzania East afrika.CHOKAMBAYA RECORDS ni Studio ya kurekodi muziki aina zote. Neno "chokambaya" linamaanisha kuchoka vibaya( so tired records) hehehehehehe!!! alisema rennie bizzo!! nia na madhumuni ya kuanzisha STUDIO hii na kuisimika jijini mwanza ni kuinua vipaji vya;WASANII chipukuzi wa muziki mbalimbali. kama..HIP-HOP,R&b;b,ZOUK, REGGAE NYIMBO ZA DINI;NYIMBO ZA KITAMADUNI (TRDITIONAL; MUSIC) NK!!! CHOKA MABYA RECORDS ni Studio pekee iliyoko maeneo ya Sengerema na inawakilisha maeneo mbalimbali kwa mfano Geita, mpaka Ngara !!! Dee-jay Daw ni mtangazaji wa radio vilevile ni "PRODUCER" wa "CHOKAMBAYA RECORDS" Rennie Bizzo nae ni mtangazaji na pia ni PRODUCER" ndani ya "CHOKAMBAYA RECORDS"
WASANII WOTE MNAKARIBISHWA!!
"Kama wewe ni msanii wa maigizo,muziki wa aina yoyote basi kuwa huru kuwasiliana na sisi .kwa msanii anae toka mbali kidogo na maeneo ya sengerema yaani kwa mfano mwanza city kuja kwetu kurecord atarudishiwa ghalama zake za usafiri na huwa tunawapa kipau mbele sana wansanii kutoka mbali"
Link yenyewe ni http://www.chokambayarecords.8m.com/