LEO BARABARA ZOTE ZA JIJI LA DAR ES SA;AAM KUELEKEA MWENGE - TANGAZO
ANOINTED MINISTRY 2024
-
𝗘𝘄𝗲 𝗺𝘁𝘂 𝘄𝗮 𝗠𝘂𝗻𝗴𝘂 𝗵𝗶𝗶 𝗶𝗻𝗮𝗸𝘂𝗵𝘂𝘀𝘂 𝗻𝗶 𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗲𝗼
𝗹𝗲𝗼 𝗹𝗲𝗼 𝘁𝗮𝗿𝗲𝗵𝗲 𝟮𝟬𝘁𝗵 𝗔𝗽𝗿𝗶𝗹 𝟮𝟬𝟮𝟰 𝗗𝗮𝗿 𝗲𝘀
𝗦𝗮𝗹𝗮...
Friday, January 28, 2011
ON "KIJA'S 15" THIS FRIDAY......
On "Kija's 15" ijumaa hii...ni movies..movies..movies..za Bongowood and Hollywood...kibongobongo nazungumza na mchizi ambaye siku za nyuma alikuwa akijishughulisha na u-dereva wa taxi ambayo ni kama ameupotezea kwa sasa...na kutokana na hilo anaelezea jinsi game linavyolipa kwa sasa..anaitwa DAUDI MICHAEL TARIMO...msikilize pia yeye...
Kimbelembele wiki hii nimeamua kucheki na movie ya kimalavidavi hivi...mzigo unaitwa "NO STRINGS ATTACHED"...mzigo ni mkali mwanzo mwisho...unaonesha namna ambavyo unatakiwa ku-behav pale mtu uliyekuwa nae kimapenzi anapoamua kuwa na mtu wako wa karibu...ni mzigo unaodhihirisha kuwa uhusiano wa kawaida kwa waliowahi kuwa "inlove" inawezekana.
Saa 10;30 jioni ya ijumaa hii...ndani ya "VUTA PUMZI" show ya BonSly..Ebony fm ndo mpango mzima..usiikose hii..
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:28 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment