Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
BALOZI NCHIMBI AZINDUA SHINA LA WAKEREKETWA WAJASIRIAMALI TARIME GROUP
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi
akizindua Shina la Wakereketwa Wajasiriamali, Tarime Group lenye wanachama
200, amb...
0 comments:
Post a Comment