Friday, January 28, 2011
HAPPY BIRTHDAY BIG BRAH!!!
Happy Birthday kaka...but tambua kuwa nimekuzidi siku kumi na moja..teh teh teh!!Edwin Bashir aka Cuzin!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:40 AM 0 comments
ON "KIJA'S 15" THIS FRIDAY......
On "Kija's 15" ijumaa hii...ni movies..movies..movies..za Bongowood and Hollywood...kibongobongo nazungumza na mchizi ambaye siku za nyuma alikuwa akijishughulisha na u-dereva wa taxi ambayo ni kama ameupotezea kwa sasa...na kutokana na hilo anaelezea jinsi game linavyolipa kwa sasa..anaitwa DAUDI MICHAEL TARIMO...msikilize pia yeye...
Kimbelembele wiki hii nimeamua kucheki na movie ya kimalavidavi hivi...mzigo unaitwa "NO STRINGS ATTACHED"...mzigo ni mkali mwanzo mwisho...unaonesha namna ambavyo unatakiwa ku-behav pale mtu uliyekuwa nae kimapenzi anapoamua kuwa na mtu wako wa karibu...ni mzigo unaodhihirisha kuwa uhusiano wa kawaida kwa waliowahi kuwa "inlove" inawezekana.
Saa 10;30 jioni ya ijumaa hii...ndani ya "VUTA PUMZI" show ya BonSly..Ebony fm ndo mpango mzima..usiikose hii..
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:28 AM 0 comments
Thursday, January 27, 2011
NAWALETEA KWENU MANENO YA ATHMAN MUSSA "MWALUBADU"
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:36 AM 0 comments
Monday, January 24, 2011
IN "CAMPASS CONNECT" TONIGHT...
Ni bonge,bonge la latenyt show ambalo hutakiwi kulikosa...leo usiku..ktk "brokenheart" segment utasikia story ya kuumiza ya dada mmoja anaitwa Joyce...utamshauri pia ukipenda..na "Monday Love" leo topic inasema...unaamini katika love at the 1st sight ??kwamba inawezekana tu eti ile mara ya kwanza kumuona mtu then uka-fall papo hapo??au ni tamaa??ni mjadala mzuri ambao hakika utakufaa sana...
katika tafsiri ya nyimbo leo niko na rekodi kali ile mbaya.."I was Made to Love u" by Gelard Levert..utaisikia maana yake kwa kiswahili...yote ni katika "Campas Connect" leo j3..saa 4;00-6;00 usk..kupitia 106.5 Mlimani redio..."Elimu Kwanza"
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:57 AM 0 comments
Thursday, January 20, 2011
STARTING TOMORROW..MY NEW SEGMENT IN "VUTA PUMZI" SHOW ON EBONY FM
Ni dakika chache sana kwa kuzifikiria kikawaida kichwani..but ni nzito na muhimu sana kwa ajili ya kuifungua weekend yako...ni segment yangu mpya itakayoanza ijumaa ya kesho na kila ijumaa ndani ya "Vuta Pumzi" show..si pengine ni EBONY fm (87.8..Iringa, 88.2..Moro&Dom na 94.7..Mbeya).."KIJA'S 15" ni live from Dar es Salaam Tanzania na hutakiwi kuikosa...bila hii bado hujaanza Weekend,itakuwa na nini ndani??bado ni surprize!!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:49 AM 0 comments
Tuesday, January 18, 2011
IN R&B THANG....CHICO DEBARGE!!
Jina halisi ni Jonathan Athur..ambaye alizaliwa June 23 1966 Detroit Michigan US..ni mdogo wake na mmoja kati ya memba wa Motown Family Act Debarge...alianza kuimba miaka ya 80's akiwa chini ya Motown na albam yake ya kwanza "Chico Debarge"
ilibeba hit "Talk to Me"..hii ilitoka 1986...baada ya hapo ikafuata album ya pili "Kiss Serious" mwaka 1988...bahati mbaya akafungwa jela kutoka na dili za dawa za kulevya..akapotea kimuziki na akaachiwa katikati ya miaka ya 90's...
Akarudi Motown na akafanya albam "Long Time No See" mwaka 1997 ikafuata "The Game" mwaka 1999 na hakukaa sana akaondoka na kuhama lebel...akahamia Koch Records ambapo akaachia mzigo "2003's Free"...album ya sasa inaitwa "Addiction" ambayo aliiachia July 14 2009 chini ya Kedar Entertainment Group...mchizi ana watoto watano na tyr amekwisha mpa talaka mkewe aliyemzalia watoto wanne coz mtoto wa tano alizaa na mwanamuziki na muigizaji Nona Gaye.Its R&B Thang!!Kazi imeanza!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:59 AM 0 comments
MULT-TALENTED DUDE..SKY WOKA WE NI NOUMER..
Nafahamu kwamba b4 hajaingia ktk utangazaji alikuwa mmoja kati ya ma-MC wanaoogopeka sana Musoma town pale..but baada ya kuingia katika utangazaji ikawa kama imesahaulika vile..naona sasa anarudi mdogomdogo coz mara ya mwisho nilimsikia akichana katika track ya kwanza kbs ambayo huwa haitajwi(sijui ni kwanini) ya Hussein Machozi "Samahani" aliyoifanya pale Tetemesha na mikono ya Kid ikahusika sana...baadae nikaja nikasikia bonge bonge moja la track yake mwenyewe aliyofanya na Farida "Ree Kay"(sijui iliishia wapi ile) pale pale Tetemesha...Anaitwa Fredrick Bundala aka Sky Woka..sasa ana mikono miwili mikali sana..kinachonivutia ni namna anavyofanya muziki wake...mfano hii ya sasa swahili version ya "Am coming Home" ya Diddy Dirty Money" ni noumer..Sky we ni mkali sana...but naomba uendelee kufanya muziki huohuo unaoufanya sasa..don't change man.
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:35 AM 0 comments
Monday, January 17, 2011
ITS MY BIRTHDAY....NA KAZI NDO INAANZA 4 2011..
Ni kitambo kirefu najua mlinimiss ile mbaya...mlimiss vitu ambavyo naamini katika kipindi chote ambacho sikuwa hapa mmeshindwa kuvipata sehemu nyingine yopyote...na ndo maana nimekuwa nikishuhudia IDADI ya wahudhuriaji ikiongezeka japo sikuwa natupia chochote hapa...KIUKWELI mmenipa MOYO sana na nimeamini ninyi ni funs wa UKWELI sana kwangu na MNM kwa ujumla..THANX SO MUCH...sina cha kuwalipa kwa namna yoyote tofauti na kurudi kwa NGUVU zote kuwapa kile mlichokimis...am HERE NOW..nipokeeni jamani...leo ikiwa ni SIKU yangu ya KUZALIWA naitumia kukupeni taarifa kuwa now MNM is alive..tuendeleeni kupashana hili na lile...infos hapa ndo mahali pake..4 anything check nami katika mail yetu ileile bizzo4shizzo@ymail.com....au inbox me kwenye facebook...www.facebook.com/renatuskiluvia...au kiurahisi gonga pale palipoandikwa "niko huku pia" pembezoni mwa blog hii...THANX!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 8:38 AM 0 comments
BEST COMEDIAN FOR 2010..ATHMAN MWALUBADU..
Ni mchizi wangu na workmate wangu pia...nami huwa nikikutana nae tu naanza kupasuka mbavu kabla hata hajaongea wala kusema chochote..nilijua huku atafika..anaitwa Athman Musa Mwalubadu..mchekeshaji na mtangazaji wa Ebony fm(the no oneRadio Station in Southern Highland )...ambaye juzi kati amenyaka tuzo ya mchekeshaji bora wa mwaka 2010 toka Film Central Awards ambazo zilitolewa na mtandao maalum wa kutangaza kazi za filamu hapa Tanzania ujulikanao kama filmscentral.co.tz....na hii imempatia tunzo Mwalubadu ambaye hajashiriki comedies nyingi kivile sana kama wachekeshaji wengine tunaowaona kila siku...Big Up Bro...naamini safari bado INASONGA..na wataisoma namba au sio???
Posted by RENATUS KILUVIA at 8:29 AM 0 comments
Wednesday, December 22, 2010
KIMYA KINGI??....MNM NEW SEASON COMIN' SOON 2011...
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:38 AM 0 comments
Wednesday, December 15, 2010
TRUE LOVE IS HERE "CAMPAS CONNECT"...
“Campus Connect” is the romantic late night radio show…aired on 106.5 Radio Mlimani of Dar es Salaam University @ 22;00pm-00;00am in every Mondays and Wednesdays…Shamimu Mlacha aka Shaney is the host of this show..”Campus Connect” talks about love and relationships, building love awareness to youths and adults, teach people how to behave in love and to forgive…”Campus Connect” is the place of comfort to broken hearted people…slow jams, soul music & all good music here is the place to be…This is ”Campus Connect”…we believe in TRUE LOVE.Lets be there!!For anything please use contacts below….Don't u ever miss this show...
Contacts;
Email;shamimumlacha@yahoo.com
www.facebook.com/campasconnect
Posted by RENATUS KILUVIA at 8:12 AM 0 comments
Thursday, November 25, 2010
HAPPY BIRTHDAY MY GOOD FRIEND ISSABELAH WA V-fm
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:41 AM 0 comments
Friday, November 19, 2010
HAPPY BIRTHDAY MY YOUNG SIS NEMY NIQY..
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:32 AM 0 comments
Saturday, November 13, 2010
Monday, November 8, 2010
MBEYA...KAZI IMEANZA..NI EBONY FM PEKEE...
Ki-historia ni muziki ambao inasemekana haujawahi kutokea..but Ebony fm imebadili kabisa hali ya hewa ya burudani jijini Mbeya...MTIKISIKO 2010 "bata mreeefffffffff" sana ameliwa Mbeya jumamosi ya wiki iliyopita..ilikuwa ni noma..kwa udhamini wa VodaCom Tanzania,Kilimanjaro Premium Lager na PSI Tanzania...tazama down hapa>>>>
Na hii ni namna ambavyo stage ilikuja kuonekana usiku mnene kwenye bataaaa....
Akhsanteni Mbeya kwa kutusapoti....here we are na burudani zitakuja zaidi na zaidi na zaidi
Visigino vya Twanga vilisuguliwa kama kawa...Twanga Pepeta on stage..
Linah kutoka THT..akiwakilisha kama kawa kama dawa pale kati..
Juma Kassim Kiroboto aka Juma Nature..mmoja kati ya wasanii wasiochuja hata kama hana ngoma mpya redioni..huu ndio ulikuwa moto wake..."msichana mtundu,msichana mtundu,msichana mtundu.".
Dj Mubba "the proffessional" on the wheel of steel...schrachings!!
Sasa mpango mzima ni Jmosi hii Iringa town katika viwanja vya Samora...MTIKISIKO 2010.."bata mreeeeeeffffff" tutaendelea kumla pale..usiikose..
Posted by RENATUS KILUVIA at 7:43 AM 0 comments
Friday, October 29, 2010
EBONY FM..HERE WE COME AGAIN..MTIKISIKO 2010.
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:13 AM 0 comments
Tuesday, October 26, 2010
BAADA YA JADEN....NOW SMITH'S FAMILY PRESENTS...WILLOW SMITH..
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:56 AM 0 comments
PIGO JINGINE IN REGGAE MUSIC...GREGORY ISAACS HAS GONE FOR GOOD...
Ni kifo cha Jamaican Reggae Icon Gregory Isaacs kilichotokea jana asubuhi nyumbani kwake London Uingereza..baada ya kuugua kwa muda mrefu sana ugonjwa wa ini kushindwa kufanya kazi..Meneja wake Copeland Forbes amethibitisha kutokea kwa kifo hicho...amefariki akiwa na miaka 59..alizaliwa July 15 1951 huko Fletcher's Land Kingstone Jamaica na alianza rasmi kurekodi mwaka 1960...na ndipo kabla ya mwaka 1970 akachomoza na hit kali zilizomtambulisha kama "Love is Overdue" na "All I have is Love"....mimi nilimtambua zaidi katika "Night Nurse"...MUNGU ailaze roho ya marehemu Gregory Isaacs mahali pema peponi..Aamin!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:13 AM 0 comments
Tuesday, October 12, 2010
ZINANIKUMBUSHA MBALI...."BROWN SUGAR" BY D' ANGELO..
Recorded 1994–1995
Battery Studios, RPM Studios
(New York, New York)
Pookie Lab
(Sacramento, California)
Genre R&B, neo soul, soul, funk
Length 53:17
Label EMI
Producer D'Angelo, Kedar Massenburg (exec.), Ali Shaheed Muhammad, Bob Power, Raphael Saadiq
D'Angelo chronology
Brown Sugar
(1995) Voodoo
(2000)
Singles from Voodoo
1."Brown Sugar"
Released: August 1, 1995
2."Cruisin'"
Released: October 12, 1995
3."Lady"
Released: February 20, 1996
4."Me and Those Dreamin' Eyes of Mine
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:50 AM 0 comments
ALI KIBA HUYOOO...INTERNATIONALY...
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:42 AM 0 comments
RAY&KANUMBA IN THE BATTLE ONCE AGAIN....
Hii ni mara ya pili kwa wasambazaji wakubwa wa filamu za kibongo kampuni ya Steps Entertainment kulifanya hili....kuingiza sokoni kwa wakati mmoja filamu mbili za magwiji wa filamu nchini...Ray Kigosi na Stiven Kanumba...na ile ya kwanza niliiripoti hapa pia..sijui matokeo yalikuwaje kibiashara nadhani Steps wenyewe wanalo jibu...sasa this time ni "Pretty Girl" toka RJ Company na "Uncle JJ" toka Kanumba TheGreat Films...zote kwa wakati mmoja zitakuwa sokoni time yoyote kuanzia sasa...tuone tena "Nani ni Nani"..
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:34 AM 0 comments
Thursday, October 7, 2010
MAONI YA MDAU TAJI LIUNDI BAADA YA "BLACK SUNDAY" PREMIER..
Nilipewa DVD ya kuangalia kabla ya filamu kuzinduliwa na watengenezaji nikiwa ni rafiki na mshirika wao katika mambo kadhaa.
Nilisikitika mara tu nilipoanza na kujikuta naangalia filamu ambayo dhahiri ilik...uwa imeigwa. Kadri filamu ilivyoendelea, nilishtushwa na hadithi, maudhui na hata tamati. Vyote kwa sehemu kubwa vilitokana na filamu ya mwaka 2007 iliyotengenezwa Canada inaitwa BUTTERFLY ON A WHEEL.
(ANGALIENI PROFILE WALL KUONA TRAILER ZA FILAMU HIZI MBILI)
BUTTERFLY ON A WHEEL ni sawa na kusema KIPEPEO KWENYE GURUDUMU. Kama kweli unataka kumkanyaga kipepeo, basi gurudumu ni kitu kikubwa sana. Mantiki ni jina hilo ni sawa na kusema kwamba, 'jitihada kubwa mno inatumika kutimiza swala dogo sana"
Ndivyo zilivyo hadithi zote mbili. Mtekaji anatumia mbinu na kila jitihada kuwabughudhi wapenzi wawili kutwa, kwa sababu ambayo inabainika kuwa ndogo lakini nyeti. Ukosefu wa uaminifu katika ndoa.
Black Sunday ina mapungufu mengi sana.Imeigwa.
Haina uhalisia, hata kama ni filamu ya kubuni. Kanumba kwa mfano anaonyesha bastola waziwazi, anawapa wahanga wake nafasi nyingi za kutoroka na labda kubuni mbinu za kumzidi.
Haiwezekani kutoa Shilingi 50+milioni siku ya Jumapili bila benki yeyote (Pilipili Bank?) kutaka kujua kwanini au kukudadisi kwa undani?i!Jinsi ya mtoto katika filamu inajichanganya!Mara binti, mara mvulana???
PLOT: haina nguvu, si ajabu kwani imeigwa na kuleta uhalisia wa Tanzania iliwashinda waandaaji.
Mf.Mlela na Yvonne hawana hata sumni mfukoni, lakini wanapotumwa kuombaomba hela, wanaonekana kufika hadi MJINI kutoka Giraffe Ocean View Hotel! Labda Mrwanda hataelewa sawa...
Uigizaji wa Kanumba sio mzuri. Anavituko vya "kitoto' sijui niseme? Kugonganisha meno, kula Big G na kuifanya iwe kama kitu cha msingi sana. Kiujumla SCRIPT yake ni mbaya. Hasemi lolote la maana kwa robo tatu ya filamu.Kuna umihimu wa kukubali STRONG CHARACTERS siku nyingine.
Mlela na Yvonne hawapati nafasi ya kuzungumza wala kuigiza haswa kwa zaidi ya robo tatu ya filamu nzima.Hata hivyo, filamu inaisha na matukio ya kushangaza akili za mtu mwerevu!
Hakuna utaalamu wa taa, SPECIAL EFFECTS, na LOCATION au utafutaji wa maeneo ulikuwa finyu sana!
Sijaelewa waandaaji wanawaza nini? Sifahamu kama waigizaji walifahamu kwamba walikua wanatoa kopi. Hawajajibu maswali yangu niliyotuma kabla ya kuandika haya.
Nashindwa kuzipenda sana kazi za nyumbani. Umakini, ubunifu na utungaji hadithi zenye kina unatuangusha.
Kitu kizito zaidi ni SOKO. Mlimani pale wanaenda watu wa tabaka la juu kuangalia kwa mfano INCEPTION. Matarajio yao ni kuangalia filamu za kiwango cha juu sana. Wanaweza kila wiki kuingia kuangalia filamu kwa Tsh 8.000-15 elfu!Kama panajiendesha na soko hilo tu peke yake, je kama rafiki yangu Kanumba angeweza kujitahidi kufikia viwango vya kukubalika na soko hili? Si angefaidika sana?
Soko la KWELI sio la VIDEO ni la MAJUMBA YA CINEMA. Uuuzaji wa video ni BAADAYE kabisa.Lakini hili ni somo la siku nyingine...Haya, nimenena. Ni matarajoio yangu kwamba wengi mtaona nimekuwa mkali kwenye maoni. Nimekuwa mkweli. Kama hukwenda kuiona, ione kwanza au inunue kisha pitia upya niliyoandika. Kwa wasanii husika, msinichukie, msichukie niliyoandika, hebu chukulieni maneno haya kwa fikra chanya.Naamini sisi ni marafiki na rafiki mwema ni yule ambaye haogopi kusema ukweli. Ukweli unauma. Ukweli unajenga.Naandika kuwafumbua macho na kuwatakia maendeleo. Hakuna fani yenye kukosolewa zaidi kama FILAMU. Nipo tayari kuendelea kushirikiana nanyi katika mawazo. Natumaini waungwana wengine wataandika maoni yao nao.
Kila la kheri.
TajiSee More
Tuesday at 2:02pm · LikeUnlike
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:22 AM 0 comments
Tuesday, October 5, 2010
TONIGHT ON 106 & PACK @ BET...JEREMIAH IN THE BUILDING...
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:23 AM 0 comments