RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
Monday, May 17, 2010
"THANK ME LATER" HAIKO KI-BUSSINES-DRAKE
Sijajua bado tatizo ni nini,sijui ni kutokujiamini ama lah,Drake anayetegemewa kudondosha mzigo wake mpya tar 15 ya mwezi ujao unaokwenda kwa jina la "Thank Me Later" amelonga katika moja ya interview zake kuwa albam hii haiko kibiashara kivile japo itauzwa kama kawa,sijamuelewa mchizi ana maana gani kusema hivyo coz hivi sasa yuko na ma-interviews ya kumwaga katika kuipromo albam hiyo,hebu ngoja tuone....
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:12 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment