RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
Monday, January 17, 2011
BEST COMEDIAN FOR 2010..ATHMAN MWALUBADU..
Ni mchizi wangu na workmate wangu pia...nami huwa nikikutana nae tu naanza kupasuka mbavu kabla hata hajaongea wala kusema chochote..nilijua huku atafika..anaitwa Athman Musa Mwalubadu..mchekeshaji na mtangazaji wa Ebony fm(the no oneRadio Station in Southern Highland )...ambaye juzi kati amenyaka tuzo ya mchekeshaji bora wa mwaka 2010 toka Film Central Awards ambazo zilitolewa na mtandao maalum wa kutangaza kazi za filamu hapa Tanzania ujulikanao kama filmscentral.co.tz....na hii imempatia tunzo Mwalubadu ambaye hajashiriki comedies nyingi kivile sana kama wachekeshaji wengine tunaowaona kila siku...Big Up Bro...naamini safari bado INASONGA..na wataisoma namba au sio???
Posted by RENATUS KILUVIA at 8:29 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment