Hii ndio album cover ambayo imechukuwa jackpot kwenye covers kibao za albam za mtoni nlokwishawahi kuziona,before sjaiona hii album cover ilokuwa jackpot ni albam ya mtu mzima SCARFACE ya mwaka 1995 kama unakumbuka vizuri,albam iliitwa "The Diary",so kwa maana hiyo basi hii imeizidi ile,hii ni albam ya "dogo" Wayne(mi namwita dogo n don' ask me why) inaitwa "The Cater III.Kazi imeanza sasa.
Mantra Yaelekezwa Kuwashirikisha Watanzania Uchimbaji wa Urani
-
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Dkt. Janeth Lekashingo, ameitaka kampuni ya
Mantra Tanzania Limited, inayosimamia Mradi wa Uchimbaji wa Madini ya Urani
katik...
0 comments:
Post a Comment