Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba mchizi kutoka Kampala anakwenda kwa jina la Daniel Kigozi aka NAVIO amekula shavu kufanya ngoma na producer na rapper kutoka nchini Marekani Timberland.Navio ambae yuko kwenye lebo ya Talent 256 anasema sasa ndoto zake zinatimia coz amehustle kwa muda mrefu sana kufanya kazi na star yeyote toka mbele,nadhani hii ndo nafasi ya jamaa kutoka kimataifa,hebu tumsikilizie au vp....
KAMPUNI YA SARUJI TANGA YAWEKA HISTORIA KUTOA HISA STAHIKI ZENYE THAMANI
KUBWA
-
Na Mwandishi Wetu
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama ameipongeza kampuni ya Saruji Tanga kwa kuw...
0 comments:
Post a Comment