Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba mchizi kutoka Kampala anakwenda kwa jina la Daniel Kigozi aka NAVIO amekula shavu kufanya ngoma na producer na rapper kutoka nchini Marekani Timberland.Navio ambae yuko kwenye lebo ya Talent 256 anasema sasa ndoto zake zinatimia coz amehustle kwa muda mrefu sana kufanya kazi na star yeyote toka mbele,nadhani hii ndo nafasi ya jamaa kutoka kimataifa,hebu tumsikilizie au vp....
RAIS DK.MWINYI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA CCM, ZANZIBAR
-
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza kikao Maalum cha Kamati Kuu ya
Hal...
0 comments:
Post a Comment