Justine Timberlake
Robin Thickel
Wadau kuna mtu aliniambia kuwa anawafananisha sana hawa jamaa,kwa sura,wanavyovaa na kuimba pia.Ikabidi niingie kazini kulichunguza hili,duh nikaja gundua kuwa kuna ukweli ndani yake,Justine Timberlake na Robin Thickle ni kama brothers hivi?(sina maana ya ndugu).Sasa hebu nawe tuambie basi unawaonaje?ni kweli wanashabihiana au macho yetu tu,labda wengine tuna makengeza teh!teh!teh!teh!
DKT. ABBASI AKABIDHI VIFAA VYA KUKABILIANA NA WANYAMA WAKALI NA WAHARIBIFU
-
Na Mwandishi Wetu- Goha,Korogwe
Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi amekabidhi
mabomu baridi mia nne (400), pikipiki mbili na nd...
1 comments:
Labda wamefanana pua!!
Post a Comment