BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Tuesday, October 12, 2010

ZINANIKUMBUSHA MBALI...."BROWN SUGAR" BY D' ANGELO..

"BROWN SUGAR"

Released July 3, 1995

Recorded 1994–1995
Battery Studios, RPM Studios
(New York, New York)
Pookie Lab
(Sacramento, California)
Genre R&B, neo soul, soul, funk
Length 53:17
Label EMI
Producer D'Angelo, Kedar Massenburg (exec.), Ali Shaheed Muhammad, Bob Power, Raphael Saadiq
D'Angelo chronology
Brown Sugar
(1995) Voodoo
(2000)
Singles from Voodoo
1."Brown Sugar"
Released: August 1, 1995
2."Cruisin'"
Released: October 12, 1995
3."Lady"
Released: February 20, 1996
4."Me and Those Dreamin' Eyes of Mine

ALI KIBA HUYOOO...INTERNATIONALY...

ALI KIBA

Awali nilipopata taarifa kuwa Ali Kiba ameachana na management ya awali chini ya G-Records ya mtu mzima Gulu aka G lover nilihuzunika sana...na nikaona sasa kijana amepotea na muda si mrefu tutamsahau...aisiii..i was wrong...very wrong bana...kijana juzi kati ame-sign na kampuni ya kimataifa ya "RockStar4000" yenye uhusiano na Sony BMG ya nchini Marekani na soon ataanza kusikika kimataifa zaidi...kazi ya kwanza ya kampuni hiyo kwa Kiba ni kusambaza nyimbo zake za albam zake mbili za kwanza kimataifa zaidi... na mengine tutajulishwa...hii ni akili jamani au sio??kila la kheri mwana!!

RAY&KANUMBA IN THE BATTLE ONCE AGAIN....

"PRETTY GIRL"(COVER)

Hii ni mara ya pili kwa wasambazaji wakubwa wa filamu za kibongo kampuni ya Steps Entertainment kulifanya hili....kuingiza sokoni kwa wakati mmoja filamu mbili za magwiji wa filamu nchini...Ray Kigosi na Stiven Kanumba...na ile ya kwanza niliiripoti hapa pia..sijui matokeo yalikuwaje kibiashara nadhani Steps wenyewe wanalo jibu...sasa this time ni "Pretty Girl" toka RJ Company na "Uncle JJ" toka Kanumba TheGreat Films...zote kwa wakati mmoja zitakuwa sokoni time yoyote kuanzia sasa...tuone tena "Nani ni Nani"..