BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, October 29, 2010

EBONY FM..HERE WE COME AGAIN..MTIKISIKO 2010.

STAGE ON CONSTRACTION

Mwaka wa nne now...tamasha lilianza since 1997...Bigtime Highland Company Ltd na Ebony Entertainment....kupitia d' hottest radio stations never appeard on Earth...Ebony fm n' Hot 89.5fm..wanadondosha only a single but rememberable East African Music Festival day...almaaruf "MTIKISIKO"..its once upon a year...na mwaka huu ni MBEYA & IRINGA regions...this year it goes with the slogan "bata mrefffff!!!"...Artistslist ni ndefu balaa...but special appearance ni ma'men WEASEL&RADIO from Kampala n' one&only sexy lady all the way from Naiii...called herself WAHU...hii ni kwa uchache tu..sticky around with MNM for more info....

WAHUU WITH HUSBAND NAMELESS

Tuesday, October 26, 2010

BAADA YA JADEN....NOW SMITH'S FAMILY PRESENTS...WILLOW SMITH..

WILLOW SMITH

Hii ni baada ya familia kumsapot na kufanikiwa kumtoa first born wa Jada Pinket Smith...Jaden Smith katika movie Karate Kid now Smith's family inamtambulisha kwenu last born wa Will Smith...Willow Smith..lakini sasa sio katika movie tena..ni katika muziki...jana nimebahatika kutazama 106&Pack na Willow alikuwa anatambulisha singo yake ya kwanza "Whip My Hair"...ni bongebonge moja la track...ni njia nzuri kwake na ni dalili za kuja kuwa moto ile mbaya..sasa je wazazi wa kitanzania twajifunza nini kutoka Smith's family???

SMITH'S FAMILY WAKIINGIA KWENYE STUDIO ZA BET

PIGO JINGINE IN REGGAE MUSIC...GREGORY ISAACS HAS GONE FOR GOOD...

GREGORY ISAACS

Ni kifo cha Jamaican Reggae Icon Gregory Isaacs kilichotokea jana asubuhi nyumbani kwake London Uingereza..baada ya kuugua kwa muda mrefu sana ugonjwa wa ini kushindwa kufanya kazi..Meneja wake Copeland Forbes amethibitisha kutokea kwa kifo hicho...amefariki akiwa na miaka 59..alizaliwa July 15 1951 huko Fletcher's Land Kingstone Jamaica na alianza rasmi kurekodi mwaka 1960...na ndipo kabla ya mwaka 1970 akachomoza na hit kali zilizomtambulisha kama "Love is Overdue" na "All I have is Love"....mimi nilimtambua zaidi katika "Night Nurse"...MUNGU ailaze roho ya marehemu Gregory Isaacs mahali pema peponi..Aamin!!