BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, July 8, 2010

THIS FRIDAY IN STONETOWN...FINAL DIPLOMA RECITAL..


Hello friends of DCMA,
 
a quick reminder of our upcoming Diploma Program Concert on Friday July 9th. Please support our future graduates, entrance is free!
 
Regards,
DCMA

WEEKLY ARTS AND CRAFTS GULIO (MARKET) IN IRINGA..


Peace and blessings.
Karibuni to our opening of weekly arts and craft market in Iringa town. Please pass it own you might not want to miss this opportunity.
The GULIO will be happenning at the garden behind IDYDC (Makosa) hall by the main road (Dodoma Road).
peace to all.....

Tuesday, July 6, 2010

PIPOOO!!!..COKO IZ BACK...!!!!


Jina lake halisi anaitwa Cheryl Clemons aka Coko ambaye alizaliwa tar 13 June 1970 huko Bronx NY,alikuwa ni muimbaji kiongozi wa kundi lililofanya poa sana miaka ya 90...SWV(Sisters With Voices)...baada ya kundi kuvunjika Coko akaanza kufanya kazi kama msanii wa kujitegemea(Solo Artist)...Najua hujamsikia muda mrefu sana...sasa kwa taarifa yako Coko is now back kwa hewa but...kivingine kabisa,Coko sasa AMEOKOKA..amempokea KRISTO kama BWANA na MWOKOZI wake.


 ...So Coko yuko tayari kabisa kukudondoshea mzigo mkali lakini sasa akiwa haimbi mapenzi tena,akikuimbia wewe na kukushawishi urudi nyuma na kuyafikiria upya maisha yako na hatma yake ili umfuate alipo yeye(uokoke)..J2 hii nimemshuhudia Coko akiimba katika kipindi cha SUNDAY GOSPEL cha BET...sasa kazi kwako..msikilize Coko sasa..

MY CRAIZY BET 2010 SHOW....EMINEM'S...& ALICIA KEY'S


Mdau ilikuwa ni bonge-bonge moja la show,kwa ujumla kwa yule aliyekuwa makini na kuitizama mwanzo mwisho BET Awards 2010 hatanipinga kwa hiki ninachosema,nimekuwa nikiangalia awards za BET kwa miaka kama sita hivi mfululizo lakini hii ya mwaka huu...dah!!!!..show ilianza kama saa mbili usiku kwa saa za huku kwetu..but ilianza BET Awards pre-show nje ambayo ilifanyika nje ya ukumbi ambao show ilipigwa,vilifanyika vitu vingi ikiwa ni pamoja na perfomances kutoka kwa wasanii ambao hawakuwa nominees kwenye awards hizo...pamoja na upitaji na upigaji picha katika RED CARPET na vitu ka' hizo,hosts walikuwa ni Tarrance na Rocsie ambao huwa wanafanya kipindi cha 106 & Pack na mtu mzima Nick Canon...


 Kama nilivyosema kwa ujumla awards zilikuwa poa ile mbaya ila katika show zote,show iliyonivutia mimi binafsi ni ya mtu mzima Eminem,dahhhh!!!!jamaa alipiga bonge-bonge moja ya show..si kitoto..Alicia Keys pia alifanya vizuri sana japo ali-perfom na ujauzito mkubwa tu.. so naweza kusema ni mtu wa pili kwangu ambaye niliipenda zaidi show yake..mi nadhani wadau na waandaaji wa tunzo zetu hapa bongo wajitahidi kuwa wanafuatilia na kutazama awards za wenzetu ili kuona cha kujifunza na kuboresha awards zetu hapa..ni hayo tu mdau wangu..

HAPPY BIRTHDAY CARTIS JAMES JACKSON....


Mchizi ndo huyo hapo juu,anaitwa Cartis James Jackson aka 50 Cent,kutoka Shady-AfterMath,mchizi alizaliwa tar kama ya leo mwaka 1975,so leo anagonga jiwe la thelathini na tano,kama ulizaliwa tar kama ya leo fan,jua unashea birthday na mchizi huyu,Happy birthday 50 Cent...