BRIGEDIA JENERALI MABENA AWEKA JIWE LA MSINGI MAHANGA YA VIJANA KIKOSI CHA
824 KJ KANEMBWA
-
Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiweka jiwe
la Msingi ujenzi wa Mahanga ya Vijana katika kikosi cha 824 KJ
Kanembwa,Wila...
Friday, November 19, 2010
HAPPY BIRTHDAY MY YOUNG SIS NEMY NIQY..
NEEMA KILUVIA aka NEMY NIQY
Leo Nov 19 ni siku muhimu sana kwa familia ya Mr&Mrs Kiluvia,coz kitinda mimba aka mziwanda aka lastborn Neema Kiluvia aka Nemy Niqy anakumbukia siku yake ya kuzaliwa..mimi kama brother na kwa niaba ya wana familia wote..namtakia birthday njema,Mungu amsaidie atimize yale yote anayoota kila siku...Happybirthday Ney..
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:32 AM 0 comments
Subscribe to:
Posts (Atom)