BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, May 7, 2010

TULIYOPATA NAFASI YA KUYAZUNGUMZA NDANI YA "TUPO PAMOJA" SHOW YA TTV.

BIZZO NA GIZZLE

Mdau jana nilifanya kukudokeza kiduchu tu khs mualiko wangu kwenye kipindi cha "Tupo pamoja" ndani ya TTV na nikakuahidi leo nitakwambia ni nini zaidi ambacho tulikizungumza.Mengi yamekwishazungumzwa juu ya mapungufu ya Kilimanjaro Tanzania Music Awards na kutokana na hilo basi sisi hatukuona ni sawa kama tukiendelea kuzungumzia mapungufu hayo,cha zaidi ambacho sisi tulizungumza ni TAMASHA lenyewe la makabidhiano ya tunzo,maandalizi na mambo ya msingi ya kuzingatia kwa kamati ya maandalizi ya tunzo hizi "technically" na muundo mzima wa show kwa ujumla,kingine cha muhimu ambacho tuliona si busara kama tutakikalia kimya ni "appearance" ya wanamuziki na wasanii wenyewe hasa wa kizazi kipya katika tamasha lenyewe,kiukweli wasanii wetu hawajui ni namna gani "watokee" katika dhifa muhimu kama hizo,namna gani wavae,tumeshuhudia wengi wakichemka kimavazi hasa wasanii wa kiume.Nisiseme mengi wadau na fans,nnachoomba tuelekeze macho na masikio yetu kwenye tv zetu leo ijumaa saa 3;00 usiku pande za TTV ili tujue zaidi.Thanx!

0 comments: