Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
SEMA NA WAZIRI YAAMSHA MATUMAINI; KERO 29 ZA WANANCHI ZAANZA KUPATIWA
UFUMBUZI
-
Na Janeth Raphael - MichuziTv
Wizara ya Katiba na Sheria imeendelea kuimarisha huduma za upatikanaji wa
haki kwa wananchi kupitia programu ya "Sema na ...




0 comments:
Post a Comment