Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
ZEC YATANGAZA KURA YA MAPEMA KUPIGWA OKTOBA 28
-
Na Nihifadhi Abdulla Zanzibar.
TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi ratiba ya Uchaguzi Mkuu wa
mwaka 2025 ambao utahusisha uchaguzi wa ...
0 comments:
Post a Comment