Leo tar 5 May ni siku ya kuzaliwa kwa mwanamuziki Craig David, alizaliwa tar kama ya leo 1981 nchini Uingereza.Craig David kiukweli mi nampenda sana japo ana muda mrefu kama yuko kimya hivi,so kama unazaliwa leo basi fahamu kuwa unashea birthday na brotherman huyu.Happy birthday mtu mzima Craig David.
RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA
ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Uh...
0 comments:
Post a Comment