BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Monday, June 28, 2010

HAWA NI BAADHI YA WALIONG'ARA BET AWARDS 2010 JUZI..

BET

Ijumaa niliweka post hapa kukujilisha kuwa zile tunzo za BET 2010 zilitakiwa zifanyike jumapili ya jana,zilifanyika na kiukweli zilifana sana japo BET wenyewe hawakuzionesha live zaidi ya baadhi ya highlights ambazo zilioneshwa leo asubuhi...wenyewe wametangaza kuzionesha jumamosi ya wiki hii tar 3 July,lakini kwa ufupi hiki ndicho kilichotokea jana....

BEST FEMALE R&B ARTIST(ALICIA KEYS)


 
BEST MALE R&B ARTIST(TREY SONGS)


 
BEST GOSPEL(MARVIN SAPP)

BEST FEMALE HIPHOP ARTIST(NICKI MINAJ)

BEST MALE HIPHOP ARTIST(DRAKE)

 
BEST GROUP(YOUNG MONEY)

 
BEST NEW ARTIST(NICKI MINAJ)

 
BEST VIDEO DIRECTOR(HYPE WILLIAMS)

 
BEST ACTRESS(MO'NIQUE)

Fans hawa ni baadhi tu ya washindi,lakini msanii kama Nicki Minaj ali-shine sana baada ya kupokea tunzo mbili, na mafanikio yalionekana zaidi kwa kundi la Young Money linaloongozwa na mkali Lil Wayne ambaye hakubahatika kuhudhuria tunzo hizo kwakuwa yuko gerezani akitumikia adhabu yake,wenye Dstv na Startimes BET Awards 2010 zitaoneshwa jumamosi July 3 kuanzia saa tatu kamili usiku kwa saa za kibongo.

0 comments: