BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Thursday, July 1, 2010

IN STORES NOW..."KARATE KID" THE MOVIE..

KARATE KID

Mzigo unamuelezea dogo ambaye maskani kabisa ni Detroit-Marekani lakini kutokana na mambo ya hapa na pale anasafiri na mama'ke na kwenda kuweka makazi Beijing-China,huko anakutana na madogo wenzake ambao wanajua hu!ha!(kareti) balaa..na katika hao madogo kuna mmoja anakuwa anamuonea sana coz yeye hawezi hizo ishu..kutokana na hilo dogo anakwenda kwa "karate master" na kuomba kufundishwa..sasa hebu pata picha kilichokuja kutoka baadae ni nini..hii ni movie mpya kabisa ambayo hutakiwi kuikosa,rasmi imezinguliwa tar 11 mwezi uliopita nchini Marekani.Tangu July 2009 mpaka Octoba 16 mwaka huohuo watu walikuwa busy waki-shoot mzigo huu huko pande za Beijing-China.

JADEN SMITH

Humo ndani yumo mtoto wa Will Smith anayekuja juu ile mbaya Jaden Smith...ambaye kaigiza kama huyo dogo anayekuja kufundishwa kareti,pia Taraji P Henson,kaigiza kama mamake na Jaden..na mtu mzima Jackie Chan..ambaye ndie kun fu master anayekuja kum-train huyo dogo..mzigo kau-direct Harald Zwards..producers ni Will Smith na wife wake Jada Pinket Smith na James Lassiter..imeandikwa na Christopher Murphey..mtunzi ni Robert Mark Kamen na inasambazwa na Colombia Pictures.Mdau original ya mzigo huu ni kutoka katika mzigo mwingine uliokuwa katika jina hilihili ambao ulitengenezwa mwaka 1984...hebu utafute uone dogo alivyofanya mambo huko ndani..ni mnona joh!!!

0 comments: