TUZO ZA KAMPUNI BORA 100 CHAPA AFRIKA ZATAJWA KUCHOCHEA MAENDELEO SEKTA
BINAFSI.
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo, amesema
wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika
maendeleo ya ...
Monday, June 28, 2010
SUGU MIKONONI MWA POLISI...
Hizi ni habari ambazo nimezipokea si muda mrefu sana,Mr ii aka SUGU amekamatwa na polisi leo asubuhi akijiandaa kwenda kwenye kikao cha press talk katika ukumbi wa Balaza la Sanaa la Taifa(BASATA),mpaka sasa haijafahamika sababu za kukamatwa kwa mkongwe huyo wa muziki wa Hiphop nchini..endelea kuwa hapa kwa habari zaidi....saurce:michuzijr.blogspot.com
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:35 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment