PPRA, ZPPDA Zasaini Makubaliano Kuenzi Miaka 60 ya Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
Wakati kesho Tanzania ikisherehekea miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar, Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) na M...
Monday, June 28, 2010
SUGU MIKONONI MWA POLISI...
Hizi ni habari ambazo nimezipokea si muda mrefu sana,Mr ii aka SUGU amekamatwa na polisi leo asubuhi akijiandaa kwenda kwenye kikao cha press talk katika ukumbi wa Balaza la Sanaa la Taifa(BASATA),mpaka sasa haijafahamika sababu za kukamatwa kwa mkongwe huyo wa muziki wa Hiphop nchini..endelea kuwa hapa kwa habari zaidi....saurce:michuzijr.blogspot.com
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:35 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment