BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, July 23, 2010

DIDDY KAFANYA MAMBO KWA DOGO...

DIDDY

"Nimeinyaka hii sasa ivi...kuwa Diddy amemkubali sana dogo Justine Bieber..na akaona kusema tu kuwa amemkubali haijatosha,so??.. kaamua kabisa kumkabidhi dogo funguo za gari la kifahari aina ya Lambogene.. dogo hivi anakula bata kwa kusukuma mashine hiyo town..na si Diddy tu..washkaji kibao inasemekana wamemkubali dogo ile mbaya,kati ya hao Dr Dre pia alipata nafasi wakati fulani kukiri kuwa dogo ni mkali ile mbaya"...

0 comments: