"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
TUZO ZA KAMPUNI BORA 100 CHAPA AFRIKA ZATAJWA KUCHOCHEA MAENDELEO SEKTA
BINAFSI.
-
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo, amesema
wazalishaji, wafanyabiashara na watoa huduma nchini ni nguzo muhimu katika
maendeleo ya ...




0 comments:
Post a Comment