"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
Rais wa Zanzibar Ajumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya
Sala ya Ijumaa , Ashiriki Sala ya Jeneza ya Marehemu Sheikh Abdullah Hamid
Suleiman
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Ibada ya Sala
y...




0 comments:
Post a Comment