"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
YANGA SC YAACHANA NA KOCHA MSAIDIZI, YAAJIRI MWINGINE NAYE MRENO
-
KLABU ya Yanga imempa mkono wa kwaheri Kocha wake Maaidizi, Filipe Duarte
da Silva Pedro baada ya miezi miwili na ushei tangu awasili na nafasi yake
...




0 comments:
Post a Comment