"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
Games za Spinners (Dubwi) Sasa kuchezwa mtandaoni kupitia betPawa pekee
-
Kwa miaka mingi, ile ladha ya Spinners imekuwa ikiwavuta watu kwenye kasino
za mtaani. Yale makelele ya furaha, ule msisimko wa gurudumu likizunguka,
na ...




0 comments:
Post a Comment