"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
NMB yatoa 500m/- kusaidia matibabu ya moyo ya watoto 125 nchini
-
Na Mwandishi Maalum
Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa
ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI...




0 comments:
Post a Comment