"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
Playsion Short Races, Mchezo Wa Ushindi, Zawadi Hadi Bilioni 6
-
Meridianbet imeleta tena moto kwenye kasino za mtandaoni kupitia Playson
Short Races, mbio kali zinazowashangaza mashabiki wa michezo ya kubashiri
Tan...
0 comments:
Post a Comment