"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
WALIMU NA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MASHUJAA WATEMBELEA MAKTABA YA MKOA
RUVUMA
-
TIMU ya walimu watatu kutoka Shule ya Msingi Mashujaa ilitembelea Maktaba
ya Mkoa Ruvuma kwa lengo la kujifunza na kupata uelewa wa kina kuhusu
huduma m...




0 comments:
Post a Comment