"Ile naamka tu baba ananitumia sms..ati leo ni birthday ya huyu jamaa..anaitwa Hamisi Mandi aka B-12 aka B-Dozen na aka zingine kibao tu,eti ba'mdogo unafikisha miaka mingapi leo eti?kwa niaba ya mshua pamoja na fans wote wa MNM nakutakia maisha marefu na yenye fanaka tele wewe na yeyote mwingine aliyezaliwa tar kama ya leo..Happy Birthday B-12"..
PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI YA RAIS SAMIA UZINDUZI MKAKATI WA TAIFA WA
MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa
amesimama pamoja na viongozi mbalimbali wakati Wimbo wa Taifa ukiimbwa
kwenye ha...
0 comments:
Post a Comment