SIX DECADES STRONG, CELEBRATING THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA'S PROUD
UNION ANNIVERSARY
-
*60 years of the United Republic of Tanzania, We are united and
Strengthened for the Development of Our Nation. *
1. Introduction.
The United Repub...
Monday, August 23, 2010
ITS YOUNG MONEY AGAIN...PRESENTS...TYGA!!
Dogo anaitwa Michael Steveson but wewe wamjua zaidi kama TYGER....mashine ingine kutoka Young Money ambaye umri wake umenchekesha kidogo...eti ana miaka 20 tu...alizaliwa Nov 19 1989 Compton, Califonia US...huu ni mzigo wake wa pili....wa kwanza unaitwa "No Introduction"..ambayo hatuwezi iita albam hasa..ilikuwa ni kama mixtape tu ambayo aliiachia kwa awamu mbili...ya kwanza ilikuwa ni April na ya pili ilikuwa ni May 2008...But hii ndio kazi ambayo naamini itamtambulisha vizuri zaidi...na atatamba zaidi hata ya Drake(nionavyo mie)...Mzigo waitwa "Careless World" na utadondoka Sept 17(mwezi ujao tu) na tayari anafanya poa ile mbaya na "am on it"..kamtupia bosi wake pale kati...dah!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 7:01 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment