Serikali Yawahakikishia Usalama Watanzania Walioko Israel na Iran
-
SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewahakikishia wananchi kuwa
Watanzania walioko nchini Israel na Iran wako salama, licha ya hali tete ya
usa...
Monday, August 23, 2010
GELLY WA RHYMES NDANI YA CHANNEL O...
Mshkaji ni kutoka lebel ya USWAZI inayomilikiwa na the no one music video director Adam Juma...anaitwa Gelly wa Rhymes...ulianza kumsoma vzr baada ya kuwa "video king" ktk video ya J.I "kidato kimoja"...sasa Gelly anatoka zaidi baada ya video ya wimbo wake "mzuri" kuwa nominated kwenye Awards za Channel O 2010 ktk category ya video bora toka East Africa...Witness pia amekuwa nominated na "Att please" na Shaa na "Zamu Yangu "...hii ni baada ya Lady Jay Dee, Witness na wengineo ambao wameshabahatika kupata tunzo hizo...endelea kupita hapa MNM ili kufahamu zaidi namna ya ku-vote ili mchizi ajichukulie mzigo huo si ndio???
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:27 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment