RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi mwandamizi Marco
Chilya,akiwaonyesha Waandishi wa Habari(hawapo pichani)baadhi ya
milipuko(baruti) a...
Wednesday, December 22, 2010
KIMYA KINGI??....MNM NEW SEASON COMIN' SOON 2011...
Naweza sema ilikuwa ni kipindi kirefi na kimya kirefu sana japo nilikuwa nadondosha vitu kimachalechale sana...but now fans wa MNM Blog kaeni tyr kwa msimu mpya wa 2011...kama kawa kama dawa wale woote ambao mlimiss ishuz kibao...kama ma-infoz na ishu ka hizo stay tuned..narudi upya kabisa na segments za hatari na infoz za kumwaga..hiyo ni katika msimu mpya wa Muziki Na Maisha Blog 2011..MNM "here we stay"....
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:38 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment