DKT. MWIGULU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KITAIFA YA AFCON 2027.
-
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Kamati ya Kitaifa ya
Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) kwa ajili ya kupitia
hatua mba...
Tuesday, January 18, 2011
MULT-TALENTED DUDE..SKY WOKA WE NI NOUMER..
Nafahamu kwamba b4 hajaingia ktk utangazaji alikuwa mmoja kati ya ma-MC wanaoogopeka sana Musoma town pale..but baada ya kuingia katika utangazaji ikawa kama imesahaulika vile..naona sasa anarudi mdogomdogo coz mara ya mwisho nilimsikia akichana katika track ya kwanza kbs ambayo huwa haitajwi(sijui ni kwanini) ya Hussein Machozi "Samahani" aliyoifanya pale Tetemesha na mikono ya Kid ikahusika sana...baadae nikaja nikasikia bonge bonge moja la track yake mwenyewe aliyofanya na Farida "Ree Kay"(sijui iliishia wapi ile) pale pale Tetemesha...Anaitwa Fredrick Bundala aka Sky Woka..sasa ana mikono miwili mikali sana..kinachonivutia ni namna anavyofanya muziki wake...mfano hii ya sasa swahili version ya "Am coming Home" ya Diddy Dirty Money" ni noumer..Sky we ni mkali sana...but naomba uendelee kufanya muziki huohuo unaoufanya sasa..don't change man.
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:35 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment