Rais Samia ahutubia Baraza la Eid El Fitr Jijini Dar es Salaam leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Waumini wa Dini ya Kiislamu pamoja na wageni mbalimbali
kwenye...
Friday, January 28, 2011
ON "KIJA'S 15" THIS FRIDAY......
On "Kija's 15" ijumaa hii...ni movies..movies..movies..za Bongowood and Hollywood...kibongobongo nazungumza na mchizi ambaye siku za nyuma alikuwa akijishughulisha na u-dereva wa taxi ambayo ni kama ameupotezea kwa sasa...na kutokana na hilo anaelezea jinsi game linavyolipa kwa sasa..anaitwa DAUDI MICHAEL TARIMO...msikilize pia yeye...
Kimbelembele wiki hii nimeamua kucheki na movie ya kimalavidavi hivi...mzigo unaitwa "NO STRINGS ATTACHED"...mzigo ni mkali mwanzo mwisho...unaonesha namna ambavyo unatakiwa ku-behav pale mtu uliyekuwa nae kimapenzi anapoamua kuwa na mtu wako wa karibu...ni mzigo unaodhihirisha kuwa uhusiano wa kawaida kwa waliowahi kuwa "inlove" inawezekana.
Saa 10;30 jioni ya ijumaa hii...ndani ya "VUTA PUMZI" show ya BonSly..Ebony fm ndo mpango mzima..usiikose hii..
Posted by RENATUS KILUVIA at 4:28 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment