BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, May 14, 2010

"MAKENGEZA YANGU" TOO MUCH,CHEKI HAWA...

 
NOTORIOUS B.I.G
                                                

 
GORILLA BLACK
                                                

Wiki iliyopita katika segment yetu hii tulikuwa na Bobby Valentino na Jeremiah,na nikauliza je hawafanani kweli??bado tunaendelea kupitia mstaa mbalimbali ambao mi nahisi wanafanana,sasa wiki hii cheki hao juu,Notorious B.I.G na Gorilla Black,nipe maoni wawaonaje??hawafanani kweli??au makengeza yangu too much sasa?

0 comments: