Mradi wa CookFund unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na kutekelezwa na
UNCDF waleta Mageuzi ya matumizi ya Nishati katika taasisi za umma.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi 62,000 kote Tanzania sasa wananufaika na majiko salama
na safi zaidi kufuatia usakinishaji wa zaidi ya maj...
Monday, May 10, 2010
HAPPY MOTHERS DAY!!!!!!!
Wadau na fans wa blog ya burudani "Muziki Na Maisha"(MNM),naamini weekend yako ilikuwa poa sana na j3 hii kila kitu kiko katika mstari,nakushukuru kwa kuendelea kuifuatilia blog hii,wadau jana j2 ilikuwa ni siku ya mama dunia "world mothers day",je wewe ilimfanyia nini mama yako??si lazima umnunulie zawadi kubwa sana lakini hata kama ni kidogo ni kipi ulichokifanya kwake?ulimfanya aone japo raha kidogo na kumsahaulisha uchungu wakati anakuzaa wewe??Mimi binafsi nilimfanyia mengi mama yangu na kama haitoshi,leo natumia blog hii ya burudani kumwambia kuwa "NAJIVUNIA KUWA MMOJA WA WATOTO WAKE",najua ananipenda sana,nami namjibu "NAKUPENDA SANA MAMA",HAPPY MOTHERS DAY MAMA KILUVIA.
Posted by RENATUS KILUVIA at 7:22 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment