RC CHALAMILA AFIKA 'SITE' BLOCK D KUNDUCHI KUTATUA MGOGORO WA NYUMBA YA
MAMA MJANE
-
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila mapema leo amefika eneo
la mgogoro wa nyumba ya Mama mjane Block D Kunduchi Wilaya ya Kinondoni
am...
Tuesday, May 11, 2010
SUNDAY BEST YA BET NI NOMAAA........
Unataka kuona watu wanaimba??wanaimba kweli na si kutania??hebu pitapita kwenye Tv yako hasa BET uone,ni noma mdau,jana usiku katika zururazurura yangu pande za BET nikabambiana na auditions za shindano la kuimba nyimbo za injili lijulikanalo kama "Sunday Best" season 3 ambalo lilikuwa New Orleins,duh nikagundua kuwa kuna ma-underground hatuwajui na wanaimba.
Ni kama "Gospel Star Search" kwa hapa kwetu,ila wenzetu wako very serious na wanaweza,mpaka nikajiuliza hivi mimi ndo ningekuwa judge ningemchagua yupi na kumuacha yupi,judges katika shindano hilo ni waimbaji maarufu wa nyimbo za injili nchini Marekani Kirk Franklin, Tina Campbell na nduguye Erica Campbell wanounda kundi la "Mary Mary".Hebu tazama BET halafu ukiigumia utanipa majibu.NOMA!
MARY MARY
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:19 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)






0 comments:
Post a Comment