FELIX D. KAOMBWE
Haya!haya!haya tena wadau na fans wa blog ya burudani MNM,leo ni j5 ingine tena tunakutana katika ile segment yetu ya "MNM Meets",na leo niko na mchizi toka pande za Tabora na ni mkali ile mbaya katika yale anayoyafanya,sasa hebu cheki profile yake hapa down....
NAME;Felix D. Kaombwe
NICK NAME;FDK-One(Pekee)
OCCUP;Radio Presenter&producer
MEDIA;Ebony fm
LOCATION;Dar-Es-Salaam
AGE;32yrz
HOBBIES;Music,Movies,Sports etc
FDK-ONE DOIN' HIS THING(SIBUKA FM)
Haya mdau,na wewe kazi kwako,kama unataka kutokea hapa kwenye blog ya burudani fanya hivyo fasta,nitumie picha na maelezo yako kiduchu halafu nifanye mpango mzima.(bizzo4shizzo@ymail.com au renatuskiluvia@ymail.com)
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
0 comments:
Post a Comment