BIG DADY KANE
Rappa wa muda mrefu kunako game ya muziki huu nchini Marekani Big Dady Kane(BDK) afunga ndoa.Big Dady ambaye jina lake halisi ni ANTONIO MONTERIO HADY amefunga ndoa na aliyekuwa galfriend wake wa siku nyingi Shawnette jumamosi ya wiki iliyopita na kufuatiwa na bonge la party la kisupastaa huko pande za North Carolina.
Mshkaji wake mmoja ameandika kupitia mtandao wake wa Twitter kuwa amefurahi na kusema kuwa ilikuwa party nzuri kati ya alizowahi kuhudhuria,awali mchizi alimpiga chini demu wake huyu(Shawnette) na kuwa katika mahusiano na Madonna kabla ya kumwagana na kumrudia tena na Shawnette.Ni hatua ya kiutu uzima na MNM inampongeza mchizi kwa kuona sio ishu ngoja avute kitu ndani ili maisha yaendelee,bado mie......teh!teh!teh!
RAIS SAMIA AKIWA KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA
ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwapungia mkono wananchi mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Uh...
0 comments:
Post a Comment