BLOGGER TEMPLATES AND TWITTER BACKGROUNDS

.......

.

Friday, May 21, 2010

TODAY IN "MAKENGEZA" YANGU SEGMENT.......

Wiki iliyopita tulikuwa na jamaa wawili ambao kiukweli wanafanana sana mpaka namna wanavyochana kimuziki,alikuwa ni marehemu NOTORIOUS BIG na Bwn Mdogo GORILLA BLACK,je leo??????........

SOLANGE


BEYONCE

Ni Solange Knowles na Beyonce Knowles,hawa mdau wangu ni ndugu kabisa,lakini wangapi ndugu lakini bado hawafanani??sasa nataka uniambie,japo hawa ni ndugu lakini je wanafanana kweli??au "Makengeza" yangu bado hayajapona?

0 comments: