MBUNGE TWEVE NA KOMBA WAIPA HESHIMA TANZANIA
-
Mbunge Rose Tweve akishangiliwa na wabunge wenzake
Mbunge Rose Tweve na Yosepher Komba kulia wakijiandaa kwa kuanza riadha
Mbunge Rose Tweve kulia akiwak...
Monday, May 17, 2010
"THANK ME LATER" HAIKO KI-BUSSINES-DRAKE
Sijajua bado tatizo ni nini,sijui ni kutokujiamini ama lah,Drake anayetegemewa kudondosha mzigo wake mpya tar 15 ya mwezi ujao unaokwenda kwa jina la "Thank Me Later" amelonga katika moja ya interview zake kuwa albam hii haiko kibiashara kivile japo itauzwa kama kawa,sijamuelewa mchizi ana maana gani kusema hivyo coz hivi sasa yuko na ma-interviews ya kumwaga katika kuipromo albam hiyo,hebu ngoja tuone....
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:12 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment