UZAZI WA MPANGO WAIBULIWA, SERIKALI YATENGA BIL. 23.6 KUZIBA PENGO LA
UFADHILI
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi Tv – Dodoma
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) limetangaza kuwa
Serikali ya Tanzania, kwa kushirikiana na ...
Monday, May 17, 2010
"THANK ME LATER" HAIKO KI-BUSSINES-DRAKE
Sijajua bado tatizo ni nini,sijui ni kutokujiamini ama lah,Drake anayetegemewa kudondosha mzigo wake mpya tar 15 ya mwezi ujao unaokwenda kwa jina la "Thank Me Later" amelonga katika moja ya interview zake kuwa albam hii haiko kibiashara kivile japo itauzwa kama kawa,sijamuelewa mchizi ana maana gani kusema hivyo coz hivi sasa yuko na ma-interviews ya kumwaga katika kuipromo albam hiyo,hebu ngoja tuone....
Posted by RENATUS KILUVIA at 6:12 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment