WAZIRI WA FEDHA ASISITIZA UMUHIMU WA NCHI ZA AFRIKA KUTUNZA VYANZO VYA MAJI
ILI KUWA NA UCHUMI ENDELEVU
-
Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), akichangia mada katika
mkutano ulioangazia umuhimu wa sekta ya maji katika maendeleo ya watu na
uch...
Tuesday, May 18, 2010
HABARI NJEMA....
Hizi ni habari njema kwenu wadau wa blog hii ya burudani MNM,blog yenu inazidi kuboreshwa zaidi na zaidi,sasa twaweza kuchat kupitia blog hii,upande wa kulia wa blog kuna chat room kwa ajili yenu fans kufanya chochote mtakacho,isipokuwa matusi tu ndo hayahitajiki,pia kuanzia sasa tutakuwa na "video ya wiki" upande huo huo wa kulia wa blog,waweza kuclick na youtube itafunguka nawe kuweza kucheki hiyo video yetu ya wiki,na kuanza,leo tunaanza na video inayobamba kinoma ya mwanadada kutoka "Young MONEY" Nicki Minaj,kitu inaitwa "Massive Attack",ENJOY!!
Posted by RENATUS KILUVIA at 5:13 AM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




0 comments:
Post a Comment